1 Mambo Ya Nyakati 16:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Alimchagua Asafu kuwa kiongozi wao, akisaidiwa na Zekaria. Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Metithia, Eliabu, Benaya, Obed-edomu na Yehieli, aliwachagua wawe wapiga vinanda na vinubi. Asafu alipiga matoazi,

1 Mambo Ya Nyakati 16

1 Mambo Ya Nyakati 16:1-11