1 Mambo Ya Nyakati 16:40 Biblia Habari Njema (BHN)

ili kutolea Mwenyezi-Mungu sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya sadaka za kuteketezwa daima asubuhi na jioni, kulingana na yote yaliyoandikwa katika sheria ya Mwenyezi-Mungu aliyowaamuru Waisraeli.

1 Mambo Ya Nyakati 16

1 Mambo Ya Nyakati 16:32-43