1 Mambo Ya Nyakati 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha waliliingiza sanduku la Mungu, na kuliweka ndani ya hema ambayo Daudi alikuwa ameitayarisha. Halafu wakatoa tambiko za kuteketezwa na za amani mbele ya Mungu.

1 Mambo Ya Nyakati 16

1 Mambo Ya Nyakati 16:1-7