1 Mambo Ya Nyakati 15:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akasema, “Hakuna mtu mwingine yeyote atakayelibeba sanduku la Mungu isipokuwa Walawi, maana Mwenyezi-Mungu aliwachagua wao kulibeba na kumtumikia milele.”

1 Mambo Ya Nyakati 15

1 Mambo Ya Nyakati 15:1-3