1 Mambo Ya Nyakati 15:12 Biblia Habari Njema (BHN)

akawaambia, “Nyinyi ni viongozi wa koo za Walawi. Jitakaseni pamoja na ndugu zenu, ili mkalilete sanduku la Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, hadi mahali ambapo nimelitayarishia.

1 Mambo Ya Nyakati 15

1 Mambo Ya Nyakati 15:5-19