1 Mambo Ya Nyakati 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akaenda huko Baal-perasimu, akawashinda; halafu akasema, “Mungu amepita katikati ya adui zangu kwa mkono wangu, kama mafuriko ya maji yaendayo kasi.” Kwa hiyo mahali hapo panaitwa Baal-perasimu.

1 Mambo Ya Nyakati 14

1 Mambo Ya Nyakati 14:5-17