1 Mambo Ya Nyakati 13:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Sanduku hilo la Mungu lilikaa huko kwa Obed-edomu kwa muda wa miezi mitatu, naye Mwenyezi-Mungu akaibariki nyumba ya Obed-edomu na mali yake yote.

1 Mambo Ya Nyakati 13

1 Mambo Ya Nyakati 13:13-14