1 Mambo Ya Nyakati 11:26-46 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Wanajeshi mashujaa wa Daudi walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu,

27. Shamothi Mharodi, Helesi Mpeloni,

28. Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi; Ilai Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi; Heledi, mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai, mwana wa Ribai, kutoka Gibea, wa kabila la Benyamini; Benaya Mpirathoni;

32. Hurai kutoka vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumu; Eliaba Mshaalboni;

34. wana wa Yasheni Mgiloni; Yonathani, mwana wa Shagee Mharari,

35. Ahiamu, mwana wa Sakari Mharari; Elifali, mwana wa Uri;

36. Heferi Mmekerathi; Ahiya Mpeloni;

37. Hezro Mkarmeli; Naarai, mwana wa Ezbai;

38. Yoeli, nduguye Nathani; Mibhari, mwana wa Hagri;

39. Zeleki Mwamoni; Naharai Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu, mwana wa Seruya;

40. Ira na Garebu, waliokuwa Waithri,

41. Uria, Mhiti; Zabadi, mwana wa Ahlai;

42. Adina, mwana wa Shiza Mreubeni, mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini;

43. Hanani, mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni;

44. Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli, wana wa Hothamu Mwaroeri;

45. Yediaeli na Yoha nduguye, wana wa Shimri Mtizi;

46. Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu; Ithma Mmoabu;

1 Mambo Ya Nyakati 11