1 Mambo Ya Nyakati 11:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Abishai, nduguye Yoabu, alikuwa mkuu wa mashujaa thelathini. Yeye alipigana kwa mkuki wake dhidi ya watu 300, akawaua, akajipatia jina miongoni mwa wale mashujaa watatu.

1 Mambo Ya Nyakati 11

1 Mambo Ya Nyakati 11:13-26