1 Mambo Ya Nyakati 1:43 Biblia Habari Njema (BHN)

Wafuatao ndio wafalme waliotawala nchi ya Edomu kabla mfalme yeyote hajatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori alitawala nchi ya Edomu, akiwa na makao yake makuu katika mji wa Dinhaba.

1 Mambo Ya Nyakati 1

1 Mambo Ya Nyakati 1:41-49