1 Mambo Ya Nyakati 1:25-31 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Shela akamzaa Eberi, Eberi akamzaa Pelegi, Pelegi akamzaa Reu;

26. Reu akamzaa Serugi, Serugi akamzaa Nahori, Nahori akamzaa Tera,

27. na Tera akamzaa Abramu, ambaye ndiye Abrahamu.

28. Abrahamu alikuwa na watoto wawili wa kiume: Isaka na Ishmaeli.

29. Hivi ndivyo vizazi vyao: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi na wengine ni Kedari, Adbeeli, Mibsamu,

30. Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,

31. Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

1 Mambo Ya Nyakati 1