10. Kushi alimzaa Nimrodi, aliyekuwa mtu shujaa wa kwanza duniani.
11. Wazawa wa Misri ni Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,
12. Wapathrusi Wakaftori na Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti).
13. Wana wa Kanaani walikuwa Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi.
14. Kanaani pia ndiye babu yao Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15. Wahivi, Waarki, Wasini,
16. Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
17. Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuri, Arpaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri na Mesheki.