8. Wa Isakara, Netaneli mwana wa Zuwara.
9. Wa Zebuloni, Eliyabu mwana wa Heloni.
10. Wa ana a Yosefe: wa Efraimu, Elisama mwana wa Amihudi; wa Manase, Gamaliyeli mwana wa Pedazuri.
11. Wa Benjamini, Abidana mwana wa Gideoni.
12. Wa Dani, Ahiyezeri mwana wa Amisadai.